Saturday, August 24, 2013

E.F Outdoor Mkoani Dodoma yakabidhi fedha Chamwino

Mwakilishi wa kampuni ya E.F Outdoor Mkoani Dodoma Kevin Charles (kushoto) akimkabidhi msaada wa fedha Mwenyekiti wa kijiji cha Chamwino Ikulu wilayani Chamwino Mkoa wa Dodoma Joseph Senganje kwa ajili ya ukarabati wa jenngo la Ofisi ya serikali ya kijiji.
iliyoasisiwa na Baba wa Taifa hayati Mwalimu Nyerere.

No comments:

Post a Comment