| Mkuu wa Mkoa wa Dodoma Dr. Rehema Nchimbi (kulia) akimkabidhi funguo ya
trekta mkulima Kalanga Ngudong' wakai wa hafla ya kukabidhi kwa wakulima
matrekta hayo ya mkopo yaliyotolewa na kampuni ya kusambaza matrekta ya
NAM Ltd ya Mjini Dodoma, anayeshuhudia katikati ni mkurugenzi mtendaji
wa NAM Ltd Bw. Aspenas Mwaranga, hafla hiyo ilifanyikajuzi mjini Dodoma. Kampuni ya NAM Ltd mjini Dodoma
inakopesha matrekta hayo kwa wakulima, jumla ya matrekta matano yenye
thamani ya shilingi 175,000,000/- yalikopeshwa kwa wakulimaleo hii. |
No comments:
Post a Comment