Monday, November 18, 2013

TMF wanoa mabloga hoteli ya ReliP

Baadhi ya washiriki wakiwa makini


Wanahabari  20  kutoka mikoa ye pembezoni ya Tanzania wanaoendesha  mitandao ya  kijamii (Blogu) nchini Tanzania  wameanza  kupatiwa mafunzo  maalum  ya kuboresha  uandishi katika  mitandao  hiyo kwa  kuzingatia maadili ya tasnia  ya habari nchini.
Mafunzo hayo  ya  siku  nne yameanza   leo katika  ukumbi wa Dodoma .
Washiriki wa mafunzo hayo ni:

 Mkoa wa Mwanza
1. Shomari Binda
Blog: www.shommibinda.blogspot.com
2.Pendo Daimon Mwakyembe
Blog:www.darubuni.blogspot.com


Mkoa wa Dodoma
3 .Sifa Lubasi
Blog:dodomamatukio,haiba-urembo
4.Stanslaus Likomawagi
Blog:thevise.blogspot.com

Mkoa wa Mbeya
5. Merali Gasper Chawe
Blog;yangumachomwenyewe.blogspot.com
6.Brandy Nelson Mwinuka
blog:pamojatunawezatz,blogspot.com

Mkoa wa Ruvuma
7.Judith  Elidadi Lugoye
Blog Songea habari.blogspot.com
8.Kassian Nyandindi
blog:nyandindi2006.blogspot.com

Mkoa wa Rukwa
9. Franco Nkyandwale
Blog. www.sumbawanakyela.blogspot.Com
10.Judith Simon Ngonyani.
Blog: www.juddyngonyani.blogspot.com


mkoa wa Katavi
11. Gurian Adolf
Blog:rukwakwanza.blogspot.com
12 Sumia Wilbroad
Blog :    www.sumiampanda.blogspot.com


Mkoa wa Kigoma
13.Emmanuel Matinde
Blog:jmatinde.blogspot.com
14.Winfrida Bwire
blog:kigomapressclub.blogspot.com


mkoa wa Mara
15.Eva-Sweet . I. Musiba
Blog:  eva-sweet.blogspot.com
16. Augustine Boniphace Mgendi
Blog www.mwanawaafrika.blogspot.com

Mkoa wa Iringa
17. Mwaisumbe Tukuswiga
 E-mail:   jswiga@yahoo.com
Blog Frankleonard.blogspot.com
18 Francis Godwin
Blogwww.francisgodwin.blogspot.com ,www.shwari.com na www.matukiodaima.com


mkoa wa njombe
19 Bazil Makungu
Blog : jamiihuru1.blogspot.com
20. Nickson mahundi
blog:habariludewa.blogspot.com

Programu ofisa wa TMF akielezea mafunzo na maana yake kwa jamii

Programu ofisa akitoa maelekezo kwa washiriki

Washiriki wakiendelea na semina

Liko akitabasamu wakati wa utambulisho

Ni elimu na vitendo si mchezo

Mwezeshaji  Beda Msimbe akizungumza na washiriki

Programu ofisa Sanga akisisitiza jambo

Mwezeshaji Mkina akifanya vitu vyake

Darasa lililokamilika la watu 20

No comments:

Post a Comment